Sitadanganya
Moji Shortbabaa
paroles Moji Shortbabaa Sitadanganya

Moji Shortbabaa - Sitadanganya Lyrics & Traduction

Mmmh mmmh mmmh yeah yeah yeah
Ni Short Baba na Daddy Owen

Chochote ninajua ni wewe
Siwezi kudanganya
Na niendapo aah, ni wewe
Siwezi kudanganya

Iwe kiatu kwa mguu, hee
Ama ni nafuu, eeh eeh
Nikipanda matatu, eeh
Ama nikienda kama tu eeh eeh

Milango unafungua singedhania eeh eeh
Unanichanua wakinivamia aah
So sita, sita, mi sitadanganya eeh eeh
So sita, sita, ni wewe umefanya eeh eeh
So sita, sita, mi sitadanganya eeh eeh
So sita, sita, ni wewe umefanya eeh 

Chochote ninajua ni wewe
Siwezi kudanganya
Popote nilipo aah, ni wewe
Siwezi kudanganya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Naweza dai ni masomo 
Lakini ni wangapi wamesoma wamechizi
Naweza dai ni ujanja 
Lakini utacheka utasema am kidding

Wala si nguvu na bidii 
Si nguvu na bidii
Ni nguvu zako daddy
Nguvu zako daddy

Ni ju milango unafungua, singejua
Ni wewe natambua si kifua
So sita, sita, mi sitadanganya eeh eeh
So sita, sita, ni wewe umefanya eeh eeh
So sita, sita, mi sitadanganya eeh eeh
So sita, sita, ni wewe umefanya 

Chochote ninajua ni wewe
Siwezi kudanganya
Popote nilipo aah, ni wewe
Siwezi kudanganya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Chochote ninajua ni wewe
Siwezi kudanganya
Popote nilipo aah, ni wewe
Siwezi kadanganya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya
Baba ni wee eeh
Baba ni we eeh, sitadangaya

Nikiota kwa mtaa
Nikiota kwa mtaa(ukiotaga)
Nikiota kwa mtaa
Ni wewe ulinionaga(ulinionaga)

Nikiota kwa mtaa
Nikiota kwa mtaa(ukiotaga)
Nikiota kwa mtaa
Ni wewe ulinionaga(ulinionaga)

(Amekuona na pia anakupenda)
Moji ShortBabaa, Daddy Owen


Paroles2Chansons dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)