paroles Diamond Platnumz Kuna

Diamond Platnumz - Kuna Lyrics & Traduction

La traduction de Kuna de Diamond Platnumz est disponible en bas de page juste après les paroles originales

Wenzako waolewa we huolewi kwani we
Ati una hila moja husemi na majirani we
Sema na hila ya pili ukihongwa hufanani wewe
Sema na hila ya tatu midabwada kitandani we
Sema na hila ya nne mwenzetu mchafu ndani we

Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua
Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua
Kanijengee kibanda udugu wangu eeh eeh eh
Kanijengee kibanda shoga zako wataniua
Kanijengee kibanda kwetu eeeh eeh eh
Kanijengee kibanda kwenu wataniua

Lalilo lilo eeeeh, pambe tu
Lololo lololo
Lali lali lalii, laa lalii lali lali lalii

Ooo oh!
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini toss umezidi
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote zoazoa lakini wewe umezidi
Oooh ooh oh
Jani hilo, jani la mua eeeh eeh eh
Watu wote wachepuka lakini lizer umezidi

Acha nicheze mie
Na watu wangu jangwani nalia
Ooooh! Acha niringe mie
Na watu wangu jangwani nalia
Aaaaah! Aaah ah! Acha nicheze mie
Na watu wangu jangwani nalia
Acha nijishaue shaue
Na watu wangu jangwani nalia
Ooooh lolilo lilo eeeh!

Kuntu! Mambo hayo
Alolololo lolo lolooo!
Aah eeh mama mwanangu ooh!
Mama mwanangu ooh!
Aah mama mwanangu eeh!
Mama mwanangu eeh!
Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
Waniacha nasaga mpunga we, mbona sijijvi
Waniacha napinda mgongo we, mbona sijijvi
Aaah! waniacha napinda mgongo we, mbona usiniambie

Jamani mi naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Jamani naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa eeh eeh eh, naumwa
Naumwa, oooh, ooh oh naumwa aaah naumwa
Naumwa kijipu upele we, naumwa huniambii pole
Naumwa kijipu upele jama, naumwa huniambii pole

Oyaa mwafulani wee khaaaaa
Ooh mwafulani usitukane dangaji nakuambia aaah
Huo udangaji jauanza dadayo kuutumia
Ukiona mwana wa mwenzio budege
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Aaa ah ukiona mwana wa mwenzio mchele
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Ukiona mwana wa mwenzio shangingi
Na wako vilevile
Na wako vilevile
Aaaah lilo lilo eeeh, tamu!

Nipeni barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Jamani barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya bwana ndani eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya bibi ndani eeh, niisome
Barua ifike vyema eeh, niisome
Barua mama barua aah, eheeh, eh eh

Oooh nyie wana Dar es salama embu acheni umbumbumbu
Nyie wana Dar es salama acheni umbumbumbu
Shariti ni kuinama ukitaka cha uvungu
Asa mbona wapata bwana halafu humpi?
Naombeni barua yangu, niisome
Naikata barua yangu, niisome
Niisome barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Ah, eh
Jamani kuna kijiti kimoja kwa jina sitokitaja
Ukiona chasimama ujue chataka haja
Ukiona kimelala kisha chafua mapaja
Jamani wewe

Nipeni barua yangu, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Nipeni barua yangu, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Barua ya mwana ndani eeh, niisome
Barua jama barua eeh, niisome
Naitaka barua yangu, niisome
Niisome barua yangu, niisome
Barua jama bahaba, niisome
Mahaba jama ya muhiba, niisome
Ah, eh

Jamani kuna mama kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna nazi kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna kinyume nyume kuna
Kuna kimbele mbele kuna
Kuna kati kwa kati kuna
Kuna kinyume nyume kuna
Hasa ku ku kuku, kukuku ku ku kuku kuku
Eh, ku, eh, ku, eh, ku, ku, ku, ku

Jamani kampata sharubaro jama kampeleka nyumbani
Muda wa kumpa mambo kamvalia miwani
Kule hakupaona kafanya kwa pajani
Jamani kuna sasa kuna kuna
Kuna embu kuna kuna
Kuna mama kuna kuna
Kuna dada kuna kuna
Ricardo momo kuna kuna
Esma twende kuna kuna

Ooh udangaji udangaji jama ni habari ya mujini
Wenzako wapewa nyumba kwa magari ya injini
Hivi we dangaji gani hadi leo walala chini
Ngoja, embu kwanza kuna kuna
Jifunze kukuna kuna
Kwa kushoto kuna kuna
Kwa kulia kuna kuna
Haya ku, ku, kuku, kukuku, ku, ku, kuku, kuku
Eh, ku, eh, ku, eh, ku, ku, ku, ku
Ah, eh
Ah, ah, ah, ah
Ah, ah, ah, ah

Ooh, utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi kuchepuka nimeanza zamani mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi madanga nimeanza kitambo mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie
Ooh, utaniweza wapi mjini napajua kitambo mie
Utaniweza wapi utundu nimeanza zamani mie

Hasa nataka dodoa haya dodoa
Nataka katika haya katika
Jama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Oooh nataka dodoa haya dodoa
Eh nataka katiaka haya katiaka
Jaama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Mama nataka nilewe

Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe
Oooh, jama nataka nilewe eh
Ngoja nilewe nikishaanguka pombe utakunywa wewe
Aaaah, hasa nataka dodoa haya dodoa
Jamani nataka katika haya katika
Aah, jama najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Naataka dodoa haya dodoa
Jama nakatika haya katika
Ona najojoa haya jojoa
Hamu yanishika haya dodoa
Pambee eeeeh

Eeeh huo mnazi, unakatika
Mnazi, unakatika
Jamani mnazi, unakatika
Oooh, mnazi, unakatika
Ukitaka kukatika hukatika
Kati, kati, kati, kati, ka




Traduction Kuna - Diamond Platnumz

Ces paroles semblent être en Swahili, une langue parlée en Afrique de l'Est. Cependant, la traduction directe peut ne pas avoir de sens en français en raison des différences culturelles et linguistiques. Voici une tentative de traduction:

"Ton ami se marie, pourquoi pas toi?
Tu as un secret, tu ne parles pas aux voisins
Parle du deuxième secret, tu n'es pas le même quand tu es soudoyé
Parle du troisième secret, tu es paresseux au lit
Parle du quatrième secret, notre ami est sale à l'intérieur

Construis-moi une cabane chez nous
Construis-moi une cabane chez vous, ils vont me tuer
Construis-moi une cabane, mon frère
Construis-moi une cabane, tes amis vont me tuer

C'est doux, c'est doux
C'est doux, c'est doux

Oh, cette feuille, la feuille de la pluie
Tout le monde la ramasse, mais tu en fais trop
Cette feuille, la feuille de la pluie
Tout le monde la ramasse, mais tu en fais trop

Laisse-moi danser
Avec mes gens dans le désert, je pleure
Laisse-moi me vanter
Avec mes gens dans le désert, je pleure

Tu me laisses écraser le riz, pourquoi ne me dis-tu rien?
Tu me laisses me pencher, pourquoi ne me dis-tu rien?

Je suis malade, je suis malade
Je suis malade, oh, je suis malade
Je suis malade d'un furoncle, tu ne me dis pas désolé

Oh, toi, l'insulteur, arrête d'insulter
Cet insulte a commencé avec ton père
Si tu vois l'enfant de quelqu'un d'autre comme un oiseau
Le tien est pareil
Le tien est pareil

Donne-moi ma lettre, laisse-moi la lire
Donne-moi ma lettre, laisse-moi la lire

Oh, vous les gens de Dar es Salaam, arrêtez d'être stupides
Vous les gens de Dar es Salaam, arrêtez d'être stupides
La condition est de se baisser si tu veux quelque chose de haut
Pourquoi obtiens-tu un homme et ne lui donnes-tu pas?

Il y a un bâton, je ne dirai pas son nom
Si tu le vois debout, tu sais qu'il a besoin de quelque chose
Si tu le vois allongé, il a sali tes cuisses

Il y a une mère, il y a une mère
Il y a une noix de coco, il y a une noix de coco
Il y a une mère, il y a une mère
Il y a un contraire, il y a un contraire
Il y a un avant, il y a un avant
Il y a un milieu, il y a un milieu
Il y a un contraire, il y a un contraire

Elle a obtenu un jeune homme, elle l'a emmené à la maison
Quand il était temps de lui donner quelque chose, elle a mis des lunettes
Elle n'a rien vu là-bas, elle l'a fait sur ses cuisses

Oh, la tromperie, la tromperie est une affaire de ville
Tes amis reçoivent des maisons et des voitures
Quelle sorte de trompeur es-tu que tu dors encore par terre?

Je veux gratter, je veux gratter
Je veux couper, je veux couper
Je veux uriner, je veux uriner
J'ai envie, j'ai envie

Laisse-moi boire jusqu'à ce que je tombe, alors tu boiras
Laisse-moi boire jusqu'à ce que je tombe, alors tu boiras

Ce palmier, il se coupe
Ce palmier, il se coupe
Ce palmier, il se coupe
Ce palmier, il se coupe
Si tu veux le couper, il se coupe
Coupe, coupe, coupe, coupe, coupe"

Veuillez noter que cette traduction peut ne pas être exacte car elle est basée sur une traduction automatique et peut ne pas refléter les nuances culturelles et linguistiques de la langue originale.


Paroles2Chansons dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)