Salama
Angel Benard
paroles Angel Benard Salama

Angel Benard - Salama Lyrics & Traduction

Heieee aaah
Haaaaooo
Mmmmmm
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Nionapo amani kama shwari ama nionapo shida
Kwa mambo yote umenijulisha ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni sakama rohoni mwangu
Ingawa shetani alinitesa nalijipa moyo kwani
Kristo uliuona unyonge wangu ulikufa kwa roho yangu
Dhambi zangu zote wala si nusu ziliwekwa msalabani
Wala sichukui laana yake ni salama rohon mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoniiiiii
Ee Bwana imiza siku ya kuja panda itakapolia
Pale utaposhuka wala sitaogopa Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Kwako salama salama rohoni
Kwako salama Yesu ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu
Salama rohoni
Ni salama rohoni mwangu


Paroles2Chansons dispose d’un accord de licence de paroles de chansons avec la Société des Editeurs et Auteurs de Musique (SEAM)